Matthew 21:9

9 aUle umati wa watu uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele ukisema,

“Hosana,
Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.
Mwana wa Daudi!”

“Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”

“Hosana juu mbinguni!”
Copyright information for SwhNEN